Mhadhiri Chuo Kikuu cha Muhimbi, Dk. Ave Maria Semakafu akichokoza mada ili wadau mbalimbali kujadili juu ya Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDG s) hasa kwenye lengo namba tano linalohusu usawa wa kujinsia.
Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Kampala(KIU) akiwasilisha mada kuhusu upatikanaji wa maji na changamoto wanazozipata...
Wednesday, 21 December 2016
Tuesday, 23 February 2016
Tuesday, 6 May 2014
KITUO KIPYA CHA REDIO DAR

Picha: Kituo kipya cha radio cha burudani 93.7 chajiandaa kuingia kwenye ushindani wa radio za Dar 93.7 ni masafa ya kituo kipya cha radio cha jijini Dar es Salaam kinachotarajiwa kuanza kurusha matangazo yake hivi karibuni. Kituo hicho kinachomilikiwa na kampuni ya E-Masters (kampuni inayomiliki kumbi za Maisha Club), kipo maeneo ya Kawe...
Thursday, 8 November 2012
LANDTECH SOLUTION FOR HIGH QUALITY AND AFFORDABLE SOLUTIONS FOR LAND
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...
Wednesday, 12 October 2011
SHERIA YA MIRATHI YA TANZANIA

SHERIA YA MIRATHI YA TANZANIA
SHERIA YA USIMAMIZI WA MIRATHI SURA YA 352 YA SHERIA ZA TANZANIA
1. SHERIA HII INASHUGHULIKA NA MAMBO YAPI NA INA LENGO GANI HASA?
Lengo kuu la sheria hii ni kutoa utaratibu wa kusimamia mali za marehemu baada ya kifo chake ikiwamo kuhamisha umiliki wa mali hizo kutoka kwa marehemu kwenda kwa watu wenye haki...
Saturday, 8 October 2011
SABABU ZA KUKOROMA NA JINSI YA KUPUNGUZA HALI HIYO

Kukoroma ni tatizo linalowapata watu wengi wakati wanapolala ambalo linaweza kuwatokea watu wa kila umri ingawa hutokea mara nyingi kwa wanaume au watu wanene. Kukoroma huzidi kwa kadri umri unavyoongezeka na asilimia 54 ya watu wazima hukoroma baadhi ya wakati huku asilimia 25 ya wengine wakiwa na tabia ya kukoroma kila wakati. Kukoroma...
TATIZO LA KUKOSA CHOO KWA WATOTO WADOGO

Tatizo la kukosa choo watoto wadogo au kuwa na choo kigumu na jinsi ya kulitatua
Watoto wadogo hasa wale ambao bado wananyonya na ndio kwanza wamenzishwa vyakula vinginevyo zaidi ya maziwa, mara nyingi hupatwa na choo kigumu au kukosa choo kabisa hali tunayoiita kimombo, constipation. Hali hiyo huanza pale mtoto anapoachishwa maziwa ya mama...
Thursday, 6 October 2011
Steve Jobs, Apple Visionary Died at 56

Steven Paul "Steve" Jobs who was born on February 24, 1955 – October 5, 2011) was an American computer entrepreneur and inventor. He was co-founder, chairman, and chief executive officer of Apple Inc.Jobs also previously served as chief executive of Pixar Animation Studios; he became a member of the board of directors of The Walt Disney...
Subscribe to:
Posts (Atom)